Allah akulipe kiongozi wetu sheikh wetu akuzidishie kheri na baraka katika kila ulifanyalo na asikulipe Allah ispokua ni mwisho mwema na pepo firdausi iwe ndio makazi yako InshaAllah
Ya Allah wajalie wote walie jitolea kumsaidiza huyu Kaka mlemavu Namimi namuomba Allah Anijalie uwezo niweze kuwa saidia walemavu wajane wazee na watoto mayatima😭😭😭😭
Mashaa الله Mashaa الله Mashaa الله. Shekhe kishki الله akulipe pepo ya daraja la juu iliyoko chini ya arshi. Yani hata hatujui tukuombee dua gani ambayo ni kubwa kuliko zote.
Mashaa'Allah Mashaa'Allah Mashaa'Allah mwenyez Mungu akupe furaha na utulivu wanafsi afya njema nakuongee mara dufu ili uzidi kusaidia na wengine Jazzakumllah Khery
Alhamdulillah Mashallah Kilio chafuraha😭😭😭😭😭😭 Mashallah Alhamdulillah Inshaallah Allah akubarik Kaka angu Eeh barakallah Fiik Sheikh Burdiin na wote waliochangia Nataman namim nengekuwa mmoja wao kwa japo kidog jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲😢
Mashaallah sheikh nduridin kishik wetu shukuran kwa msaada wako allah akuzidishie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya allah sheikh wetu sheikh nduridin kishik :na watu waliotoa allah awazidishie kila lenye kheri ndani yao allah awazidishie Umr mrefu na mwisho :❤❤❤❤
ALLAHU AKBAR Allah akuhifadhwi na killa sharr kwa rehma zake pamoja na familia yako yako sheikh wetu Hakika wewe ni mja ulie chaguliwa na Allah kua msaada kwa wengine Allah akuzidishie
MashaAllah nimebubujikwa 😢nimeguswa ALLAH akulipen sheh kishik na wale wote waliochangia.nilichojifunza kwa uyo kijana moja karidhika na maisha yake sio mtu mwenye kulalamika na hali yake.apo kuna funzo kwa sie ambao tuna kila kitu lakn tuna lalamika Alhamdulillah 👏🏻✍️
Masha ALLAH. ALLAH awalipe wote walio changia na awajaalie pepo ya Fridaus inshaAllah ❤❤❤🤲🤲🤲
Shekhe wangu kishki Allah akupe furaha katika maisha yako nawale wote walio changia kwahili Allah awalipeni kheri inshaalah ❤❤❤❤
Mashaallah mwenyezi MUNGU awazidishie kheri wote waliotoa na Sheikh Kishik inshaa allah
Allah awazidishie kheri wanaojali wasiojiweza
M. MUNGU awalipe kheri wote walioshiriki kufikia lengo hili
❤❤❤❤❤❤ MaashaaAllah Shekh Allah akuhifadhi akupe umri mrefu wenye manufaa na sisi sote na akupe moyo huo huo ❤❤❤❤
Amiin Thumah Amiin
Allah akulipe kiongozi wetu sheikh wetu akuzidishie kheri na baraka katika kila ulifanyalo na asikulipe Allah ispokua ni mwisho mwema na pepo firdausi iwe ndio makazi yako InshaAllah
ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN
Amiin amiin ya Rabialamin
Amiin
Ameen
Amiiin
Ya Allah wajalie wote walie jitolea kumsaidiza huyu Kaka mlemavu Namimi namuomba Allah Anijalie uwezo niweze kuwa saidia walemavu wajane wazee na watoto mayatima😭😭😭😭
Mashallah kila unapo weka furaha kwa mwezako Allah nawe atakufuraisha alhamdulilai 🤲😭machozi ya kuraha
Mashaa الله Mashaa الله Mashaa الله. Shekhe kishki الله akulipe pepo ya daraja la juu iliyoko chini ya arshi. Yani hata hatujui tukuombee dua gani ambayo ni kubwa kuliko zote.
Wenyezimungu akuzidishie Sheikh Nurdin 😢hakika wew ni number one 😢 Subhanallah 😭😭
Mashaallah Allah akulipe Jannatul Firdaus inshaallah . Sheikh kishki hakika ww ni miongoni mwa mawalii wa Allah Allah akuwezeshe zaid n.a. zaid
Subhanallah 😥 allah akulipe kher wew na watu wako shekh kishk
Nimetokwa na machozi warahi shehe kishiki Alwa akupe umli mlefu ishaaalah
😢😢 AllahuAkbar mpaka nalia Allah awalipe woote waliofanikisha hili
Shekhe wetu Tanzania tu nakupenda tunakuwamini wewe ni mkweli mwenyezi mungu akakuweke pamoja na mtume Muhammad s a w
Mashaa'Allah Mashaa'Allah Mashaa'Allah mwenyez Mungu akupe furaha na utulivu wanafsi afya njema nakuongee mara dufu ili uzidi kusaidia na wengine
Jazzakumllah Khery
Allah akup umri mref sheikh kishk inshaallah
hivi ndivo inavotakiwa sio wale kutwa mauidi kutukanana huoni jengine mashallah
Manshallah manshallah; tabaraka Allah shekhe Allah akulipeni Kila la kher akukinge na shali za dunia akuzidishie ulipo toa🎉🎉🎉
Mashaallah nakupenda kwajili ya Allah inshaallah allah akuifadhi
mashaallha tabaraka llha
Shekhe kishki mwenyezi Mungu akulipe kila lakher mashallah tabaraka llah
Manshallah sheikh Allah akulipe kila lakheli
BARAKALLAHU FIIKUM.
MAA SHAA ALLAH TABAARAKALLAH
MwenyenziMungu akuzidishie shekhe Kishiki daah mpk machozi yamenitoka hata cjui kwa nini
MAA SHAA ALLAH 💖
Sheikh kishki Allah akulipe kheri
Masha Allah jazzak la kher 🥰 🥰
Kishki ni mmoja tu... Tutakuwa mashahidi mbele ya Allah kwa kazi unayoifany
Maa shaaa Allah nimependa maneno yako kaka tuko pamoja
Mashallah tabaraka Rakhman ❤
maasha allah
Mashallah tabarakkallah 🥰😘 kijana ameniliza 😢 machozi y furaha hayo😢❤
Mashaallh shekh kishki mwenyezimung akupe umlimlefu wanyemanufaha na akujaalie jannatulfirdaus tunakupend san
Masha Allah sheikh
ALLAH ajaalie na kizazi chako shehe Kishki kiwe na moyo wa huruma na uaminifu kama wewe.
Amiin amiin ya rabialamin
Allahumah Amiin
Mashalllah mashalllah mashalllah mabrouk
Mashallah Allah akulipeni kheri mnayo ya fanya ni makubwa mno❤😊❤❤ na awahidhi pia
Yani huyu shekh sina lakusema namuombea mungu ampe afiya njema na mwesho mwema nampenda sababu ya mungu
Alhamdulillah Mashallah Kilio chafuraha😭😭😭😭😭😭 Mashallah Alhamdulillah Inshaallah Allah akubarik Kaka angu Eeh barakallah Fiik Sheikh Burdiin na wote waliochangia Nataman namim nengekuwa mmoja wao kwa japo kidog jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲😢
Mashaallah allah akulipe kila lakheri yani nimelia 😢
Takbirii ×3☝🏽❤️😭😭😭😭
ALLAHU AKBAR
Mashaa Allah mungu atufanyie wepesi
MASHAALLLAH❤
Mashaallah Allah Akbar
Mashallah tabarak rahmani
Mansha'allah Sina rakusema Ila tungekua nama cheikh kama Hawa sijui tungekua tunafika wapi sharifu kutoka burundi
Allah atawaletea
Sheikh nurdin kishki Allah akuhifadhi
Mashallah hallah akulinde shekh wetu
Huuu ndioo uisalam unavoo takaa
Mashaallah sheikh nduridin kishik wetu shukuran kwa msaada wako allah akuzidishie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya allah sheikh wetu sheikh nduridin kishik :na watu waliotoa allah awazidishie kila lenye kheri ndani yao allah awazidishie Umr mrefu na mwisho :❤❤❤❤
Maashaallaah maashaallaah ❤❤❤
Yani huu ni mfano wakuigwa.
Masha Allah
Hawa ndio wakusaidiwa
Masha Allah taballakallah allah akufanyie wepes usirud nyuma shekh kishk wallah namuomba Allah akufanyie wepes jannah iwe ndio makaz yako
Masha Allah taballakallah allah akufanyie wepes usirud nyuma shekh kishk wallah namuomba Allah akufanyie wepes jannah iwe ndio makaz yako
Maasha allah. Allah awalipe kheir wot walio changia kwa hili pamoja na Sheikh kishki. ALLAH AKBAR
ALLAHU AKBAR
Allah akuhifadhwi na killa sharr kwa rehma zake pamoja na familia yako yako sheikh wetu
Hakika wewe ni mja ulie chaguliwa na Allah kua msaada kwa wengine
Allah akuzidishie
Ameen
الحمدلله😢❤
😭😭😭
😢😢 mashallah tabark rahman shekh Allah akuihifadhi hapa dunian
Allahu Akbar Allah amlinde Sheikh wetu
Maa ShaAllaah ALLAAH akulipe khery nyingi shekhe wetu.
Manshallaah
Mashallah shekh kishki Allah akulipe kila la kherri kw mchango ulioutoa
Mashaallah
Ma sha Allah Tabarakallah, Shekh Kishki Allah akulipe kila jema wewe pamoja n washirika wenzako kwa hili
BARAKALLAHU FIIKUM.
MAA SHAA ALLAH TABAARAKALLAH.
Sheikh kishki huna baya ❤❤❤
Masha ALLAH
Mashallah kilemba kimefunguka ghafla
Mashaallah Allah Akbar
Mashaallah sheikh kishiki Allah akupe Pepo ya filidas inshallah
Mashaallah mashaallah Allah awalipe kher
Allah atawalipeni duniani mpaka siku yakiama
Maashaala Allah kupe umri mrefu wenye her ishaala
Masha Allha Allha awalipe kila la kheri timu mzima ya kishiki tv 😘
Al hamndulilah Allah akulipe sheikh
Allah akujalie kila la kheri Sheikh wetu ..
MashaAllah MashaAllah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤
Mashallah tabaraka llah 🥰❤️❤️
Mashaa Allah, tabarakallah
Wallaah nimelia kwafuraha
Maa shaa Allah
❤❤❤❤❤
Jazakallah khayran
Mashaa'Allah 😢
MashaAllah
MashaAllah nimebubujikwa 😢nimeguswa ALLAH akulipen sheh kishik na wale wote waliochangia.nilichojifunza kwa uyo kijana moja karidhika na maisha yake sio mtu mwenye kulalamika na hali yake.apo kuna funzo kwa sie ambao tuna kila kitu lakn tuna lalamika Alhamdulillah 👏🏻✍️
Allahu Akbar ❤
MashaAllah!!!
Ma Shaa Allah, Allah awazidishie wote walioshulika Kwa jambo ilo pia shekh kishk Allah akuongoze Kwa Kila khery
Sheikh kwa haya unayoendelea kuyafanya...ALLAH akuandalie yaliyo Bora zaidi huko akhera
Masha Allah taballakallah allah akufanyie wepes usirud nyuma shekh kishk wallah namuomba Allah akufanyie wepes jannah iwe ndio makaz yako
Masha Allah taballakallah allah akufanyie wepes usirud nyuma shekh kishk wallah namuomba Allah akufanyie wepes jannah iwe ndio makaz yako
Yaraab mjalie shekehe wetu umri mrefu na umjalie janatulfirdaus😢😢
Jazakallahu lihaira alhamdulillah Allah awaifadh wote walio shiliki ibada hii alhamdulillah maashallah
Mashaa Allah, Allah akulipe kher nying sheikh Nurdin na wote walohusika katika jambo hilo la kher malipo yao watayakuta kwa Allah Azza wa jalla
MashaAllah ❤❤❤